Kanisa Katoliki mnatukwaza sana sisi waumini: Fr. Kitima alipigwa hatujaambiwa hatua zilizochukuliwa, watu wanatekwa, wanauwawa hatusikii kemeo kutoka kwenu. Mnapokea fedha km zawadi/michango kutoka kwao huku mkijua fedha hizo sio halali. Uchaguzi umeporwa, wapinzani wamewekwa