Simba na Liverpool,You can't join me

Joined August 2019
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Replying to @Halimaprinces
@Halimaprinces sorry for that. Asthma nayo ni lifelong but effects inaeza kuwa controlled. First things first Environment siz yako anakaa iko aje? Cold? Dusty? Humidity?
1
1
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Chadema kama wata ongea kuhusu maridhiano watakua sawa na Malaya anaye jiuza usiku lakini ana ogopa kununua kondomu dukani mchana..
1
4
1
10
DUBE KAROGWA TENA retweeted
His Excellency Ruwaichi nae kashindilia alipoishia!!!
Just watched his Excellency bishop Nyaisonga’s homily in Mbeya today. Man was so straightforward about what happened and I’m glad the church has decided to stick with the truth. That’s the way to go!
3
6
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Just watched his Excellency bishop Nyaisonga’s homily in Mbeya today. Man was so straightforward about what happened and I’m glad the church has decided to stick with the truth. That’s the way to go!
2
7
1
34
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Public notice.
1
5
15
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Nadhani Code imeeleweka!
15
27
150
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Huyu ni Kada wa Chadema anaitwa Joseph Mwasote maarufu kama China, Alitekwa kabla ya Oktoba 29, 2025 mpaka Leo haijulikani yupo wapi. Kijana wake aitwae Stephano Joseph Mwasote aliuwawa kwa kupigwa risasi Oktoba 30, 2025 akiwa nyumbani kwao Tunduma. Familia yake ilipeleka mwili Hospital ya Tunduma, Vikosi vya Samia vikaiba mwili na kwenda kuuzika pamoja na miili mingine mahali ambako hakujulikan. Idd Amin Mama na washirika wake wameziacha familia nyingi na maumivu makali sana ambayo hayaelezeki. #FreeJosephChina #FreeChinaWaChina
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Askofu Ruwa'ichi asema Tanzania imejeruhiwa, 'Haki ndio msingi wa amani'.
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Replying to @TheChanzo
Huu ni ukweli mtupu. Tuangalie namna ya kuliponya Taifa kwa Ukweli na Haki.
1
1
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Nilimwambia @EsirEid kwamba wana muwinda Boniface Jacob kwakuwa wanajua yeye ndo brain inayoweza kunadika mwenendo wa kesi vizuri wanemdaka kama kawaida yao pamoja na kwamba alikaa kimya kabisa maana alijua angaongea lolote basi alikuwa karibu na kunaswa.
Kesi ya Mhe. Lissu itaendelea kesho ila sitaweza kwenda Mahakamani kwasababu Polisi wa Idd Amin Mama wanawinda kama kitoweo ila bado nafikiria jinsi ya kufanya ili tuweze kupata Updates za kesi.
2
4
39
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetangaza mpango maalumu wa kutoa msaada wa kisheria bila malipo kwa watuhumiwa waliokamatwa au kufunguliwa mashtaka kuhusiana na matukio ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025, likishirikiana na mashirika ya haki za binadamu ikiwamo Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Novemba 9, 2025 na Rais wa TLS, Boniface Mwabukusi, msaada huo unalenga kuhakikisha watuhumiwa wanapata uwakilishi wa kisheria kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Msaada wa Kisheria ya mwaka 2017. “Lakini pia msaada huo wa kisheria unatolewa kwasababu watuhumiwa wengi wanatoka familia zenye kipato cha chini zisizokuwa na uwezo wa kulipa gharama za mawakili. Haki ya kila mtu kupata uwakilishi wa kisheria ni ya msingi na ni haki ya kikatiba”, imeeleza taarifa hiyo. TLS imeorodhesha zaidi ya mawakili 40 walioteuliwa kutoa msaada wa kisheria katika mikoa mbalimbali nchini, ikiwemo Dar es Salaam, Iringa, Tabora, Njombe, Morogoro, Kigoma, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Mwanza, Songwe, Mbeya, Mbeya na Mara. Katika Dar es Salaam pekee, zaidi ya kesi nne zimeorodheshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu zikiwa na idadi tofauti ya watuhumiwa wakiwemo 95, 76, 34 na 13 ambapo mawakili maarufu kama Peter Kibatala, Mpale Mpoki, Hekima Mwasipu na Fredrick Msaki wametajwa miongoni mwa wanaotoa msaada huo. Aidha, TLS imezikumbusha familia za watuhumiwa kuwa hazikatazwi kuwa na mawakili binafsi, lakini msaada huo wa bure unalenga kuhakikisha watuhumiwa wote wanapata utetezi sahihi bila vikwazo vya kifedha. “TLS tunawashukuru mawakili wote ambao wamekubali na wako tayari kujitolea kutoa msaada wa kisheria nchi nzima. TLS inasisitiza mawakili wanaotoa msaada wa kisheria wasisumbuliwe wala kutishiwa wanapokuwa wanatimiza majukumu haya kama maafisa wa mahakama”, imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Familia zinazohitaji msaada wa kisheria zimetakiwa kuwasiliana na TLS kupitia WhatsApp namba 0777 815 757 au barua pepe president@tls.or.tz TLS imesisitiza kuwa hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za kulinda haki za watuhumiwa na kuimarisha utawala wa sheria katika kipindi ambacho taifa bado linakabiliana na matokeo ya kisiasa na kijamii yaliyofuatia uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.
6
6
103
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Unafanya biashara gani mtandaoni.? weka hapa kwenye comment unaweza kupata wateja.
2
10
43
People’s power.
4
9
73
DUBE KAROGWA TENA retweeted
What's the price for a black man life? I check the toe tag, not one zero in sight.
1
2
2
DUBE KAROGWA TENA retweeted
3
27
181
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Mh. John Heche na viongozi wengine waliokamatwa wameachiliwa huru. REPOST 200 TUTAKUWEPO🫵🏾😎
DUBE KAROGWA TENA retweeted
The crazy thing about all these funerals I’m seeing is most are 2000s kids💔
2
10
49
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Kukata tamaa ktk kuutafuta wema wa watu ni dhambi mbaya sana ktk maisha ya Binadamu. Kuutafuta wema na haki inapaswa kuwa kusudi la kila mmoja ktk maisha. Matatizo mengi duniani yanasababishwa na watu wema kukaa kimya wakati uovu unashamiri. Mateso kwa ajili ya haki ni Faraja kubwa sana ya moyo. Hata wanaofikiri sisi ni maadui zao wanapaswa kujua kuwa sisi ni marafiki zao na jitihada zetu ni kwa ajili ya watoto na wajukuu zao pia. Tuko nje kwa dhamana.
DUBE KAROGWA TENA retweeted
John Heche, Aman Golugwa, Boniface Jacob, na Godbless Lema wameachiwa leo katika kituo cha polisi Oysterbay, Dar es Salaam. Walikuwa wakishikiliwa katika vituo tofauti vya polisi na kwa nyakati tofauti. Taarifa kamili zitatolewa na mamlaka za chama. Ahsante wote kwa ushirikiano.
52
222
9
1,300
DUBE KAROGWA TENA retweeted
Jioni hii Jeshi la Polisi limewaachia kwa dhamana viongozi wakuu wa Chama waliokuwa wanawashikilia, viongozi hao ni Mhe. John Heche (Makamu Mwenyekiti Bara) Mhe. Amani Golugwa (Naibu Katibu Mkuu Bara) Mhe. Godbless Lema (Mjumbe wa Kamati Kuu na Mhe. Boniface Jacob (Mwenyekiti Kanda ya Pwani).