Emmanuel Gabagendi retweeted
Msikilize John mrema, comments ziwe fupifupi
Emmanuel Gabagendi retweeted
The violence Samia Suluhu unleashed on Tanzanians for protesting demanding free and fair elections
Emmanuel Gabagendi retweeted
The horror and violence that Samia Suluhu unleashed on Tanzanians for protesting demanding free and fair elections. Hii ni Mbeya
Emmanuel Gabagendi retweeted
Mimi sio Nabii lakini watu wakitoka mara ya pili that will be war , hakuna mtu atakubali kupigwa risasi akiwa na chupa ya uhai na barakoa. Mwenye hekima na awasikilize watanzania hawa.😭🙏
69
353
3
1,665
Emmanuel Gabagendi retweeted
Shilole with her baggy mouth nefore and after Tanzanians taught her some important lesson 😂😂😂
Emmanuel Gabagendi retweeted
Hii ilikuwa 1992 hakuna TikTok wala Instagram huyu Michael Jackson hakuwa binadamu wa kawaida.
Emmanuel Gabagendi retweeted
Nendeni jela wanangu. Kuna maisha. Kuna wanetu wameishi kule miaka tele. Sio mwisho wa dunia. Kesi za mchongo zina mwisho. Lakini majitoleo yenu yatakumbukwa milele. Jamhuri inawashitaki. Jamhuri ni sisi. Na sisi hatuwadai. Mungu awalinde. Tutashinda. Ninyi & wenzetu wote.
38
411
5
2,050
Emmanuel Gabagendi retweeted
Niliona wamama wanaomboleza kwa ajili ya uchungu wa watoto wao, ndugu hawaoni wapendwa wao. Kilikuwa kilio na majonzi, itafanyika hata mchana. Bila woga wala kificho, hofu itatanda, watu wataomboleza kwa ajili ya wapendwa wao kwa siku kadhaa ndipo nuru itatokea ghafla. Mwenye
Emmanuel Gabagendi retweeted
Mtu akiwa kibonge halafu hamna akili haipendezi
1
1
Emmanuel Gabagendi retweeted
Kituo cha polisi Kisesa Mwanza
Emmanuel Gabagendi retweeted
Tanzania charges dozens of people with treason over election protests aje.io/4ima60
Emmanuel Gabagendi retweeted
Kwa mujibu wa matokeo ya kura ya maoni hapa X pekee ndani ya nasaa 6 wamepiga kura zaidi ya 12k na 80% mnataka maandamano! Tumewasikia! Sasa poll inayofuata ni tarehe! #SaveTanzania
50
227
4
1,289
Emmanuel Gabagendi retweeted
MAANDAMOANO DECEMBER 9 MAANDAMOANO DECEMBER 9 MAANDAMOANO DECEMBER 9 MAANDAMOANO DECEMBER 9 #MD09 #MD09
24
427
2
1,144
Dah! Ndio Tumefika Huku Kweli!
Kumbe make up huwaga zinawastili sana dah Kumbe senge ni libaya hivi 😂😂😂
Emmanuel Gabagendi retweeted
Huu ndio muda wa kuidai Tanganyika yetu sasa
76
296
30
2,197
Emmanuel Gabagendi retweeted
Ingekua Tanzania jeshi lenu lingewapiga Risasi hawa watoto Tuna jeshi la kijinga sana linalotawaliwa na POLISI
Emmanuel Gabagendi retweeted
Kwamba walivyosema watu wasitoke nje ili vyombo vya ulinzi vifanye kazi maalumu, kazi maalumu yenyewe ilikuwa ndiyo hii?. Kuwafuata vijana ndani ya nyumba zao kisha kuwatesa na kuwaua?. Moyo wangu una maumivu mazito...moyo wangu una vuja damu!
Emmanuel Gabagendi retweeted
Waganga na wachawi wa Tanzania ni ma-bogus, wanachojua ni kulia kwa sauti za fisi, kupaa na ungo, ula unga & mikaa, kuvunja nazi njia panda, kujifanya paka weusi, kunyoana vipara... ila mambo ya kitaifa hawana wanaingia mitini😅😩
Dunia inazidi kuchukizwa na MAUWAJI yaliyofanywa kimakusudi na Serikali ya SAMIA