Polisi, magereza na wanajeshi mliohusika kutupa na kuficha miili ya watanzania wenzenu May you never know peace! Damu hizi hazitawaacha salama ila baada ya ukombozi wa pili salama yenu ni kutuambia mliyoyafanya Mna roho chafu za kishetani Na madakari mliohusika wote pia mjipange #SaveTanzania #TanzaniaMassacre #SamiaMustGo

Nov 8, 2025 · 9:12 AM UTC

Replying to @MariaSTsehai
Hao tayari wameuza nafsi zao kwa shetani. Wanafanya kazi kwa niaba yake. Wakati wanaua watu walikuwa ibadani, wakipeleka sadaka za damu kuzimu. Usishangae siku za usoni wakianza kukamata viongozi wa kiimani na watumishi wa Mungu wanaosimama upande wa haki.
1
3
Replying to @MariaSTsehai
Hawa Siyo Binadamu wa Kawaida. Pesa zina Mwisho Wake. Pesa Siyo kila kitu katika Maisha. Money will not Buy you Happiness. Pesa zako mwenyewe ndizo zitakazo kupeleka Kaburini.
1
1
3
This tweet is unavailable
Replying to @MariaSTsehai
Polisi kutupa miili kwenye hii mass murdering inamaanisha hata kwenye utekaji, raia kuuliwa na kukutwa wamekufa, wameuawa kwa ukubwa kuna mkono wao kwa namna moja ama nyengine. Hili tukio linawavua nguo majangiri
5
Replying to @MariaSTsehai
Kuna watu hawana uzalendo yaani wanaungama na mtawala ane uwa Watanzania wenzao bila hatia yoyote, hii itawagharimu sana damu za mashujaa wetu hazita kwenda bure.
5
Replying to @MariaSTsehai
Kwa mara ya kwanza watanzania wameuwawa zaidi ya ukatili uliofanywa Kati ya watuhu na watusi. Haya ni mauwaji ya kimbali kwa watanzania.
1
1
Replying to @MariaSTsehai
We're sorry Tanzanians
3
Replying to @MariaSTsehai
Unforgivable and unforgettable !
Replying to @MariaSTsehai
Kama waTanzania mtakubali kuongozwa na mama muislam mwenye unyama na ukatili kama huu...mimi nimewaogopa majirani kabisa sasa
1
Replying to @MariaSTsehai
🙏🙏🙏
1
Replying to @MariaSTsehai
😭😭😭😭
Replying to @MariaSTsehai
Wauwaji wanapaswa kushitakiwa na kupewa kile wanachostaili kwa huku zao
1
2
Replying to @MariaSTsehai
For the first time in ages, Tanzania has refugees, Jeez!! I'm Zambia?? Shame on you Mama Sa "mere" Sululu.
1
Replying to @MariaSTsehai
🇹🇿🇹🇿💔💔😭😭😭😭
Replying to @MariaSTsehai
Hawa ni mashetani kabisa yaani mashetani ndiyo hawa
1
Replying to @MariaSTsehai
@SuluhuSamia wewe ni afadhali na Jezebel Nakuambia utaliwa na chango vizazi vyako vitanuka kama mavi ktk uso wa dunia 2Fal 9:37 Na nikujulishe tunakuja kivingine
2
5
Replying to @MariaSTsehai
Mama anaua kuuwa. Akiendelea hivi hapo mbeleni atabaki na watanzanzia wachache tu, wengi watakua makaburini
1
Replying to @MariaSTsehai
The criminal againist humanity wanaona raha hivi
Replying to @MariaSTsehai
One of the challenges with tz right now is this, in every institution you go there is literally no professionalism, professionals are working on orders! The country has already lost its soul.
2
8
25
Replying to @MariaSTsehai
There will be no rest for the wicked .
1
Replying to @MariaSTsehai
CCM is not a party — it's a terrorist organization. Even the security forces are hypocrites: how can they watch their fellow citizens being massacred and stay silent? Fellow Est African citizens, you are not alone — God is with you. Stand up and fight for your rights.
1
Replying to @MariaSTsehai
Hii sio ile Tanzania ya Julius Nyerere. Mwalimu must be turning in his grave. 🤦‍♂️
1
0
Replying to @MariaSTsehai
N iman yangu kabisa damu za waliopotea hazitawaacha salama wote waliohusika hasa wwe Maria na Mange nyinyi mmehusika pakubwa. Damu hizi na zianze na nyinyi kwanza? This is too much jmn? Mbona hamna hofu mnapenda kuona na Tz inakuwa kama Congo na Sudan ili mmpate nn?