Day 3, Since Mange Kimambi aanze kupost Video za Maiti ya watu siku ya maandamano. Everyday anapost video zaidi ya 10, na kila video waathirika ni zaidi ya mmoja! 💔 Roho za wale watu hazija pumzika kwa amani! Zinadai haki bado!! Hawawezi kufa hivi hivi!! Hapana aisee!

Nov 7, 2025 · 6:01 PM UTC

8
96
846
Replying to @Rydx_017
So mnataka tutoke ili tufe wengi zaidi ? Then mtu kafa familia yake imemkosa anaitwa shujaaa X na kupostiwa na Mange akiwa na majeraha ya risasi kichwani ? Kaka unatumia nini kufikiria ?
4
2
Replying to @Rydx_017
9 December kaka 💪 we shall get up stronger
2
1
6
Replying to @Rydx_017
Kaka zile damu haziendi bure
1
4
Replying to @Rydx_017
9 December
1
Replying to @Rydx_017
Nafrahi sana kuona unarudi upande wetu ✊✊
2
Replying to @Rydx_017
#UKOMBOZI UNAENDELEA
1
2