Days will pass, and you’ll abandon things you were addicted to, and leave someone, and cancel a dream, and finally, accept a reality- Nizar Qabbani.

Joined March 2012
sadick faraji retweeted
Tunakaribia kufikia kwenye mgawanyiko wa lazima, pale maaskofu wanapobariki maandamano na masheikh wakiyapinga, tunaanza kujipanga kwenye makundi mawili ambayo Kwa hakika yapo kwenye #Vita baridi na muda si mrefu tutaingia kwenye #Vita vya moto, lakini kwanini? Kuna Siri gani?
Maandamano ya ajabu kweli yasiyo na mabango wala lengo!
Kwel yaliyotokea yanaumiza 💔 na kuichafua nchi yetu maana sio mazuri. Ila siku zote maandamano huwa na maelezo ya kile watu wanakitaka mfano, katiba mpya, uhuru wa kuongea, watu kutekwa nk. Hivi kuna mtu anaweza onyesha picha au bango linaeleza hivyo kwenye yale maandamano.
sadick faraji retweeted
Kwel yaliyotokea yanaumiza 💔 na kuichafua nchi yetu maana sio mazuri. Ila siku zote maandamano huwa na maelezo ya kile watu wanakitaka mfano, katiba mpya, uhuru wa kuongea, watu kutekwa nk. Hivi kuna mtu anaweza onyesha picha au bango linaeleza hivyo kwenye yale maandamano.
Wasipokuwa makini wa Tanzania naiona Tanzania ya Boko Haram na Alshabab, viongozi wa dini wabinafsi pengine kutokujua wanaipeleka huko, hapo tena kutakuwa hakuna kurudia nyuma.
Vijana vifo VYENU ni namba za watu kupandia ngazi za kisiasa, na hakuna mtanzania anaefaidika na vifo na fujo, si biashara, si kazi si yeyote zaidi ya wanasiasa na wanaharakati. Let that sink in.
This tweet is unavailable
Hakuna nchi hata moja labda huko mbele zama za mwisho , itokee iwaachie WAHUNI na mitungi ya gesi ya wizi waangushe serikali, hakuna na walirudia watakufa zaidi, haiwezekani serikali ikawavisha mauwa ya pongezi , waambieni ukweli.
Kuna kiongozi yoyote wa jamii mbalimbali za wa Tanzania aliesimama bila woga kuwaambia vijana Yale maandamano yenye lengo la kuangusha serikali ni UHAINI vijana msishiriki! Kama hakuna , basi asiwepo Leo mtu wa kujiliza tuyapokee matokeo ya lazima ya maandamano kama hayo.
sadick faraji retweeted
Nashangaa waziri wa mambo ya ndani haguswi na inaleta picha ya kibaguzi .
Kwa hiyo Wauaji na wao wanaenda kanisani leo? Wanakaa siti za mbele na kutoa sadaka kubwa kubwa za damu!! Mungu asikie kilio cha watanzania afanye namna!
sadick faraji retweeted
Mange katumika kama afisa habari tu, Kuna makundi mengi nyuma yake , Kuna kundi la Magufuli (Polepole mfano mmoja) Kuna kundi la udini(GWAJIMA) Kuna upinzani, Kuna vita ya kiuchumi na Kenya, siyo kundi moja, yote yamekusanya nguvu dhidi ya Samia na nchi.
Kwa NINI mtu kama Mange anasikilizwa kuliko Rais wetu aliyeshinda kwa 97.66%?
1
1
sadick faraji retweeted
UKISOMA takwimu za nmatukio yaliyopita Kuna habari si za kweli asilimia 35 na habari za Hadith za kutunga zinasisimua sana ni suala la saikolojia ya binadamu.
Kwa NINI mtu kama Mange anasikilizwa kuliko Rais wetu aliyeshinda kwa 97.66%?
sadick faraji retweeted
#Upinzani unafaidika Kwa asilimia 70 ya nguvu ya ushawishi kidijitali huku Ccm ikijikongoja. #Amazonkdp fanya kazi Kwa maarifa na siyo bidii.
"Watanzania, tukumbuke maneno ya Omo: Mwizi akiingia kwako, huchomi nyumba yako. Siasa za chuki zisitupeleke kuchoma taifa letu kwa makosa ya wachache. Tujenge, tusivunje. #TanzaniaKwanza #HekimaYaKiafrika #Tujengenchiyetu
Bila hatua madhubuti, Tanzania inaweza kuingia kwenye mzunguko wa "digital warfare" unaotishia demokrasia ya Afrika Mashariki. CCM inahitaji kushughulikia ajira; upinzani unapaswa kuacha disinformation. Siasa ya kidijitali si mchezo ni hatari zikitumiwa vibaya. #Takwimu #Tanzania
Upinzani vs CCM Upinzani ulitumia video za askari wakipiga raia (baadhi deepfakes) kuvuta 700K+ views. CCM ilijibu kwa madai ya "Kenya interference"—lakini posts zao zilivuta likes 0–50. Vita ya taarifa iligeuka kuwa vita ya ushawishi. #DigitalPolitics #Tawimu #Ccm #Chadema
Karne ya 21: siasa si tena majukwaani, bali kwenye hashtags. Oktoba 2025 imethibitisha—deepfakes, bots, na blackout ya intaneti vinaweza kubadili mwelekeo wa taifa. Tanzania iko kwenye njia panda ya demokrasia ya kidijitali. #Takwimu #Dijitali #Digitalwarfare #Ccm #Chadema