Replying to @earadiofm
Kazi ya serikali ni kukusanya kodi then kununua madege,ma_V8 na kujilipa mishahara minono na marurupu kibao huku raia wakiisoma namba ❗..,yupo sahihi kabisa
7
Bw madenge mm comment yangu ipo hapo hapo chini ya mtazamo wako wa wakati ule kabla haujakabidhi uhuru wako wa kufikiri kwa walanguzi wa mawazo (wanaharakati)
But siasa za Lissu sidhani kama zina afya kwa ustawi na umoja wa chama chenu especially kipindi hiki,vyote vilivyofanyika nae alikuwa kiongozi pia but now anaongea utadhani yeye ni CCM..Ni sawa na baba anayezunguka kuelezea matatizo ya familia yake mtaani badala ya kukaa na familia yake na kuyamaliza
1
2
2
San Gennaio retweeted
Hii nchi ina watu wa hovyo sana, ukisikia matusi yao mitandaoni na ahadi za kusimamisha dunia kwa maamdamano unaweza kudhani wako serious kwelikweli, Lakini hawa ndio kile kifenge cha Wanaharakati uchwara wanaojuita Sauti ya Watanzania umoja wa wabeba mabox ulaya na Marekani. Haya ndio maandamano yao…. Yaani huu ndio uhalisia wa Watanzania…..Tulipowaambia Watz bado hawajawa tayari kulete mabadiliko kwa njia ya maandamano walituona sisi wasliti, haya kiko wapi? Wajinga hawa….mnahamasisha vijana waumizwe nyinyi mko ulaya na marekani mmeshindwa kukusanya hata watu kumi tu???😂😂 Vijana Watanzania msiingizwe mkenge na hawa wahuni wakiongozwa na matapeli kama @Liberatus80 na wenzao wanaowapiga hela wazungu kupitia nyinyi kwamba mtaandamana Tarehe 29 …. Nawasihi, nendeni kapigeni kura ya ukombozi mpate viongozi bora toka Chaumma. Mkijichanganya muwafuate hao wahuni walioko nje ya nchi, mtajipa kazi ya bure ya kupishana Moi na Mochwari kwa ujinga wenu tu. Nchi haikombolewi kwa njia za kijinga hivi bali ni meza ya mazungumzo tu. Mabadiliko tutayapata kwa njia mbili tu nchini, Moja kwa nji ya Mazungumzo ya 50/50 na Pili ni kwa Njia ya Uchaguzi. Nje ya njia hizo ni UJINGA na UTAPELI tu Ok Kigamboni mpya ni sasa, YERICKO NYERERE na Wanakigamboni tunakwenda kupiga kura ya maamuzi tarehe 29/10/2025.
Leo tunavuma na mwanajeshi shujaa wetu wa week! @donminja47 @NotoriousJayZ1 @PamBelinda
2
1
3
San Gennaio retweeted
Kuelekea Uchaguzi Mkuu jimbo la Kinondoni; Jana Tarehe 29/09/2025 Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni MOZA ALLY @MozaAlly_ alikuwa Kata ya Kigogo Jimbo la Kinondoni, Kigogo wameitwa na wameitika.. Alhamdulillah #UwakilishiMakini #Chaumma2015.
1
5
15
San Gennaio retweeted
Currently Mwanakimambi ndio anaonekana Messiah kuliko hata Mnyaturu Anayekumbukwa siku ya kesi only
2
2
Naona leo nginja nginja wamepata shujaa mpya kule zile safari za kumtembelea bwege hospital hazikuwa za bure @donminja47 @NotoriousJayZ1
1
1
1
Naona nginja ×2 wameanza kuomba mazungumzo na serikali ya ccm na leo mshenga wao mzee wa section 4 ametinga ikulu kipindi kile tuliaminishwa kufanya vikao na serikali ni kulamba asali sasa sijui wao wanatafuta kulamba nini @donminja47 @NotoriousJayZ1 @mwaipungu24
2
2
4
Cc. @HecheJohn @ChademaTZ2 @jjmnyika mnapoendelea kukaa kimya hawa vijana wenu kutukana jamii itaelewa kuwa wana baraka zenu!
Ni Baba MPUMBAVU pekee anayeweza kuchagua kukaa kimya wakati Familia yake aliyoijenga kwa Miaka mingi ikipitia kwenye Misukosuko, iwe kwa sababu yeyote ile...
1
1
4
U knail it!
Replying to @SilentlySirs
The West keeps mistaking resistance for terrorism, and sovereignty for threat. They don’t fear Iran because it’s violent. They fear Iran because it refuses to kneel.
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe Salum Mwalim, leo ameungana na Waislamu wa Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu katika swala ya Eid Al Adha, iliyofanyika katika Msikiti wa Bakwata Mkoa, wa Noor.
San Gennaio retweeted
Natoa pole za dhati kwa Padri Dr.Kitima kwa shambulio hili la kinyama , namtakia heri na namwomba Mwenyezi Mungu ampe uponyaji wa haraka . Vyombo vya dola vichukue hatua za dharura za kuchunguza na hatimaye kuchukua hatua stahiki kwa wale wote waliohusika na unyama huu . Taifa letu halijafikia huko ,kukosa utu na kushambulia viongozi wa dini , hata kama hatukubaliani na misimamo yao.
Wisdom!
Replying to @MtBarunguza
Naaam! Don't be too arrogant to think you are the first to come and diagnose the problem and prescribe the solution. It's far better to learn from those who saw it before and tried and failed.
1
👏👏👏👏👏
Mwasisi wa siasa za kwenda kinyume na vikao vya chama ni @TunduALissu. Alikuwa akija hadharani na kukinanga chama chake kwa tuhuma hewa. Alipinga maamuzi ya chama hadharani huku akiwa kiongozi number 2 wa chama. Hivyo, haya yanayoendelea ni mwendelezo tu wa aliyoyaasisi chairman.
Taifa linateketea kwa watu wapumbavu aina ya huyu cheusi kupewa maarufu na nafasi wasizo stahili
EXCLUSIVE; Taarifa za awali Kutoka Kwenye ripoti ya Mwamuzi Japhet Smarti Kutoka Katavi ni Kuwa Derick Mukombozi alifanya Matukio 2 Alimnawa Mshambuliaji Leonel Ateba na alimpiga Kibao.Hata hivyo tukio la Kumpiga ndo limeonekana na wengi Hili la Kumnawa aliliona Peke yake.
..,ukafunga comments ili usijibiwe!!
Replying to @godbless_lema
Nafurahi kuona chama inaendelea kuchangiwa na umma sio pesa za mtu mmoja. Pesa za Mbowe zimelemaza chama ndio maana kuna watu wanasusa, walikuwa wanakula pesa ambazo hawajui zimetoka wap. Tutembeze bakuli kwenye kila tawi, jimbo,wilaya,mkoa na hata taifa pale tunapokuwa na mkutan
San Gennaio retweeted
Don’t say anything, just retweet ❤️ #FreeKizzaBesigye
San Gennaio retweeted
Freeman Mbowe M/Kiti wa Chadema Taifa atashinda tena kwa kishindo tarehe 21/01/2025. Tunamwitaji Freeman kuliko muda wowote. Mark this tweet.
San Gennaio retweeted
Kesho Ins Sha Allah, tunaenda kufanya uchaguzi wa kumchagua katibu mkuu pamoja na manaibu makatibu wakuu wa baraza la vijana. Kwa walio wajumbe, naombeni kura zenu za kutosha. Kwa wasio wajumbe mniweke kwenye maombi ya ushindi. #2025Victory
San Gennaio retweeted
AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA Wadau Habari za usiku? Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam. Dastan ametekwa leo majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Sigara, TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam wakati akienda kazini kwake akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda, Jijini Dar es Salaam. Dastan ametekwa na *WATU WASIOJUKIKANA* baada ya gari alilokuwa akiendesha (T.109 DYV) aina ya Mercedes Benz C300 kuzuiwa kwa mbele na gari la watekaji. Baadaye gari la Danstan liliokotwa na kupelekwa Kituo cha Kidogo cha Polisi cha Buza na kuandikishwa kama *MALI YA KUOKOTWA* RB NO. BZA/RB/53/2025 Madereva wa bodaboda walioshugudia tukio hilo wamesema Danstan alinyofolewa kutoka kwenye gari lake na kufungwa Kitambaa usoni akilalamika kuwa alikuwa akitekwa. Tafadhali sambaza taarifa hizi katika mitandao yote. Simu yake +255 769 002 700 akipigwa haipatikani/haiko hewani. Tunaendelea kufuatilia taarifa za Danstan.