Student of Knowledge | Creative Mind at Work | Always Learning, Always Evolving

Tanzania
Joined April 2013
Jalilu Zaid retweeted
Tairi lako likipata pancha barabarani kwa sababu ya msumari, suala ni huu msumari haukutakiwa kuwepo hapa. Suala la dini ya aliyeweka msumari, kabila la aliyeweka msumari au kusimamisha magari mengine kujadili jinsia ya aliyeweka msumari - hivi ni vitu kupotezea watu muda. Vivyo hivyo, ukisema watu wanataka kutoa msumari kwa sababu hawampendi aliyeweka msumari, au ni kwa sababu aliyeweka msumari anatoka dini fulani, wewe nawe unakuwa unapotezea watu muda. Mwisho kabisa, kusema kwamba hamna msumari na kuna magari pembeni hayatembei - hii nayo ni shida. Tuacknowledge msumari, tujadili msumari, tuondoe msumari. Nje ya hapo unaweka foleni watu wana sehemu za kwenda.
6
50
4
178
Uadilifu ni nguzo ya amani, na kuheshimu uhai ni msingi wa ubinadamu. Dhulma dhidi ya uhai ni dosari kubwa kwa maadili ya Dini na Utu wa mwanadamu. Tuwe viongozi wa haki, walinzi wa uhai, na wabeba amani inayochipua kutokana na huruma, hekima, na uadilifu wa kweli. “Hakika Mwenyezi Mungu anaamrisha uadilifu, na ihsani, na kuwapa jamaa haki zao; na anakataza mambo machafu, na maovu, na dhulma.” (Qur’an 16:90)
Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania. 🇹🇿
Mara nyingine, katika juhudi zetu za kijamii au kitaaluma, tunajikuta tukiwapa watu nafasi kubwa zaidi ya ile wanayostahili katika maisha yetu. Hili mara nyingi hutokana na hamu ya kujihusisha na wale tunaowaona kama wenye hadhi, ushawishi, au mafanikio fulani. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kuwa kila mtu ana maisha yake, vipaumbele vyake na changamoto zake. Tunapoweka matarajio makubwa yasiyo halisi, tunaweka msingi wa kuvunjika moyo pale mambo yanapokuwa tofauti na matarajio yetu. Hekima ipo katika kutambua thamani ya kila mtu bila kupitiliza mipaka ya matarajio. Tujifunze kuthamini mahusiano kwa uhalisia wake, si kwa taswira tunayojiwekea. Hivyo, tutadumisha heshima, uwiano na utulivu katika mwingiliano wetu wa kibinadamu.
6
7
1
31
Ziwa limetulia. Jiji lina utulivu❤️🇹🇿
7
6
52
Sumbawanga.
Post a picture / Video you took in October 😍
7
4
3
46
Wakati mwingine huzuni hutokana na kuweka matarajio makubwa kwa watu wasio na nafasi ya kuyatimiza. Labda tungekuwa na amani zaidi kama tungejua thamani ya nani wa kumtumainia.
5
2
1
26
It's amazing how Allah removes certain things/people from us. Only to teach us how to treasure the bounty when put in our hands again. There's so many things and people we take for granted. May Allah bless us with proper appreciation.
Kila nafsi ni shahidi wa matendo yake, na mizani ya haki haitapima chochote zaidi ya yale iliyoyakusanya kwa mikono yake. Adui unayemtambua ni somo la hekima; kupitia yeye unajifunza mipaka yako, udhaifu wako, na njia za kujilinda. Lakini yule anayejivika uso wa urafiki ilhali moyoni ameficha sumu, ni hatari zaidi kuliko adui wa wazi kwa sababu udanganyifu wake unaleta maangamizi ya ndani yanayozidi pigo la upanga.
Beautiful scenery 🇹🇿🇹🇿
Hii Manchester United inatibu msongo wa mawazo.
3
3
18
Asili ya mwanadamu ina tabia ya kujali maslahi yake binafsi. Ni kawaida kwa mtu kuchochewa na manufaa anayoyatarajia, iwe ni ya moja kwa moja au ya kiishara. Mara nyingi, juhudi au mapambano ya mtu katika jambo fulani huwa yamejengeka juu ya matarajio ya faida fulani kwake mwenyewe aidha faida za kiuchumi, kijamii, au hata za kihisia. Hili si jambo baya kiasili, bali ni sehemu ya maumbile ya binadamu kutafuta usalama, heshima, au utimilifu wa malengo yake. Kwa hiyo, inapomwonekana mtu akipigania jambo kwa ari kubwa, ni busara kutambua kwamba ndani ya dhamira hiyo, huenda kuna maslahi ya kibinafsi yanayoongoza jitihada hizo. Ni nadra sana kwa mtu kufanya juhudi kubwa bila kuguswa kwa namna fulani na matokeo yake binafsi, hata kama nia yake ya awali inaonekana kuwa ya kiutu au ya kusaidia wengine. Hata huruma na upendo, kwa namna fulani, huleta faraja kwa anayetoa na hiyo yenyewe ni aina ya faida binafsi, ingawa ya kiroho zaidi.
Be kind to your heart. Don't let it become overwhelmed with worry about the future and the things you can't control. Allah will take care of everything. "And whoever relies upon Allah. Allah is enough for them.” [Quran 65:3]
1
3
26
Some things take time. Stay patient. Stay positive. Be you. Stay real. Keep fighting hard. Things will get better.
1
13
52
Swalatul Fajr ya siku hizi ukijifanya tu unaamka saa kumi na moja kamili kila siku utaishia kukosa jamaa. Nyakati zinakulazimisha uamke kumi na nusu upige hata rakaa mbili nyumbani ndio uende Msikitini angalau Jamaa utaiotea.
Treat others poorly, and don’t be surprised when life serves you the same medicine. Life has a way of serving the same medicine you dish out , better swallow wisely.
4
1
18
Kama hupendi viatu vyako kukanyagwa basi nawe usikanyage vya wenzako. Kila mtu anahitaji kiatu chake kiwe kisafi kama alivyokiacha mlangoni, basi usiikarahishe nafsi ya mwenzako.
5
10
75
Ukikojoa umesimama na bila ya maji ya kujitwaharisha ni lazima tu mikojo itadondokea katika nguo zako na hazitakuwa safi kuswalia.
14
13
165
Katika maisha ukikutana na mtu mzuri anakuwa mzuri kwelikweli bila maigizo. Na ukikutana na mtu mshenzi vile vile hana chembe ya huruma. Anaweza hata kukutoa uhai sababu ya mali za ulimwenguni.
3
14
1
105
Baraka Maviatu is a well-informed and intelligent local individual I know here. He discusses various topics with factual accuracy and sufficient information, and his opinions are not influenced by hatred, love, or emotions. Smart kid right there.