Manchester united ⚽️ & Simba SC fans

Pemba South, Tanzania
Joined November 2022
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Wakazi Wa MWANZA walikua wakienda Pale SekoTure Kuchukua Miili ya Wapendwa wao Hawapewi..! Wamefatilia Mpaka wamekata Tamaa..!! Mbaya zaidi unakuta Ndugu ndio wamepeleka Mwili wa Mpendwa wao ila Wakienda wanaambiwa kua Mwili haupo Fikilia hayo Maumivu ya Kufiwa na Kunyimwa Mwili
1
30
192
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Taarifa iliyotolewa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, imeeleza Askofu Mkuu Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, OFMCap, amewaalika Mapadri, Watawa na Waamini wote kushiriki ibada Maalum ya kuwaombea Wafu itakayoadhimishwa Jumatatu, Novemba 10, 2025. "Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap, anawaalika Mapadri, Watawa na Waamini Walei wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam kuadhimisha Misa ya Wafu kwa nia ya kuwaombea pumziko la milele ndugu zetu Marehemu waliouawa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025; aidha katika Misa hiyo pia iwepo nia ya kuwaombea uponaji wote waliojeruhiwa katika tukio hilo" imeeleza taarifa hiyo Taarifa hiyo imefafanua zaidi kuwa Parokia zote na Vituo vyote vya Kanisa ndani ya Dar es Salaam vitaadhimisha misa hiyo kwa nia hiyo maalum Aidha, Askofu Mkuu Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi ametoa wito kwa waamini wote kuendelea kusali kwa ajili ya haki na amani nchini Tanzania
5
27
248
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Day 3, Since Mange Kimambi aanze kupost Video za Maiti ya watu siku ya maandamano. Everyday anapost video zaidi ya 10, na kila video waathirika ni zaidi ya mmoja! 💔 Roho za wale watu hazija pumzika kwa amani! Zinadai haki bado!! Hawawezi kufa hivi hivi!! Hapana aisee!
8
96
846
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Kufuatia taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi 07/11/25 na kutaja orodha ya watu 10 ambao linawasaka ili kuwakamata katika orodha hiyo akiwepo Godbless J. LEMA, leo 08/11/25, Godbless J. LEMA amekamatwa maeneo ya USA River, Arusha akiwa na dereva wake na ameingizwa katika gari aina ya Alphard na kuelekea uelekeo wa Moshi.
34
273
1
1,888
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Bora nife nikisimama kuliko niishi nikipiga magoti Better to die on my feet than to live on my knees #NifferNiShujaa
34
932
7
2,604
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
🚨 TAARIFA YA KUPOTEA Pichani ni Orassa Zabron Sanga, mfanyabiashara wa Kariakoo. Alikamatwa na Polisi mwezi Julai usiku akiwa nyumbani kwake na hajapatikana hadi leo licha ya kutafutwa vituo vyote. Kwa yeyote mwenye taarifa tafadhali wasiliana na familia. No. 📞 0654 545 648.
48
1
187
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
9 December 2025 just repost
48
905
5
3,240
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Sehemu ya maazimio ya Gen Z
14
155
767
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Mungu amtunze sana huyu Mwamba moja ya waandishi wa habari kutoka Kenya, ambaye siku zote huwa anisimama kwenye kupambania ukweli na haki.
36
470
7
3,287
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Sasa ni Rasmi Desemba 09, Gen-Z tutaandamana kushinikiza serikali iwaachie vijana wote iliowashikilia kwa tuhuma za uhaini pamoja na viongozi wa kisiasa wote iliowateka na kuwafungulia mashtaka ya kipambavu ili kutawala watz kwa mkono wa chuma.
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Mmeua watanzania zaidi ya ELFU KUMI ndio mnataka MARIDHIANO. Haya ni MAVIZIANO mkatafute hao raia wa kigeni walioandamana ndio mfanye nao. Sisi wananchi madai yetu yanajulikana. TUTAKUWEPO🫵😎
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Kagame ni familia
58
439
2
3,802
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Tunaomba mpost ajulikane ameuwa ndugu zetu sana kwenye maandano Dodoma ni askari kanzu, Anaitwa EPIFANI SHIJA, yeye ndio aliyekuwa anaongoza askari kupiga ndugu zetu risasi hapa Dodoma.
34
448
4
1,244
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
‼️WAY FORWARD‼️ Nimewasikia! Nimepokea mapendekezo yenu! Naweka poll kadhaa naanza na hii Kwa kuzingatia dhamira ya mafehduli kutuua, kutunyamazisha na kututia hofu, je nini kifuate? Tufanye nini? (hii poll ya masaa 6 tu alafu poll nyingine inakuja)
80% Maandamano
9% Maridhiano
11% Kampeni ya kususa
12,681 votes • Final results
80% Maandamano
9% Maridhiano
11% Kampeni ya kususa
12,681 votes • Final results
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
That Hug she gave Jay Kay, It tells alot Ni kama anamwambia….. -We have made it! -Thank you for this -We have won Ni swala la muda tu, tusikate tamaa AMINI KWAMBA, WANAENDA KUANGUKA SOON!!!
73
352
5
2,485
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Uwanaume kazi sana Wanangu, kila Mtu naona ameonyeshwa kuguswa na huyu Dada ila hakuna Mtu aliyeguswa kuhusu hali ya huyu Mwamba hapa.💔
83
262
13
1,495
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Ni ama JWTZ waungane na Wananchi kudai maisha ya WaTz🇹🇿 waliotekwa na kuuawa na mama yenu au waungane na polisi kutuua. WaTz🇹🇿 zaidi ya 3000 Wengine miili yao haijapatikana Bado wanazidi kuteka watu na kuwafungulia kesi za kisenge badala ya kuwaachilia La sivyo mtatuua tuishe
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Nijisalimishe kwa kosa gani yani kuuwa watu muuwe nyie halafu muanze kutusumbua wengine ambao hata hatuhusiki na huo ukatili wenu dhidi ya Watanganyika. Kwa kifupi ni hivi mie siwezi kujisalimisha popote kama mnadhani kuna kosa lolote nimetenda basi nendeni Mahakamani mkanifungulie kesi then tukutane Mahakamani tofauti na ivo ni HAPANA.
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Mliokaribu na Idd Amin Mama mfikishieni huu ujumbe kutoka kwa Gen-Z. Mambo imechemka.
52
406
4
1,383
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
TANZANIA KILLING ITS BABIES Hadi sasa Watawala wanajizima data juu ya Mauaji ya Halaiki ya Wananchi. Wanaongelea Uhalifu, Vurugu, Uvunjifu wa Amani na Uharibifu wa Mali ila hawataki kuwajibika kwa kile kilichofanywa kwa AMRI ZAO., ambacho ni MAUAJI. Kibaya zaidi wana SHIFT BLAME, GASLIGHT, COVER UP, JUSTIFY & SCAPEGOATING! Sasa wana waangushia JUMBA BOVU the VOICELESS & HOPELESS KIDS, na Politicians (hasa wa CHADEMA) kuwa ndio wamehamasisha fujo, na kufanya UHAINI (TREASON). Kwanza it is “laughable & preposterous” kuwapa kesi za “Uhaini” watu walioandamana. Uhaini ni kosa la kutaka KUIPINDUA SERIKALI kinyume na utaratibu wa kikatiba, au kutoa “SIRI ZA NCHI” kwa Maadui wake. Kweli NIFFER kuwaambia watu wanunue Barakoa kujiepusha na Teargas ni Uhaini? Au Watoto kuandamana wakisema “HATUTAKI CCM” ni Uhaini? Kuandamana ni CONSTITUTIONAL RIGHT Kuwa na Maoni Mbadala ni DEMOCRATIC na CONSTITUTIONAL RIGHT Uhuru wa Kujielezea ni HUMAN RIGHT Haki ya kutonyanyaswa na kuteswa (hata ukiwa mhalifu) ni HUMAN RIGHT Kukataa Viongozi Unaoona Hawakufai ni DEMOCRATIC RIGHT Kuikosoa Serikali ni DEMOCRATIC RIGHT Kuwa na Uhuru wa Kuishi na kutouwawa ni HUMAN RIGHTS “We, The People of Tanzanian are HUMANS led by A CONSTITUTION that is DEMOCRATIC”. Infact, Watawala ambao wanafanya maamuzi kinyume na Katiba, hao ndio WAHAINI. Mmeua Waandamanaji. Mka impose “short notice” Curfew na ku-cripple Maisha yao ya kiuchumi. Kisha mkawafata majumbani na kuanza kuwaua kwa silaha za kivita! Mkawakatia Internet na Mawasiliano, na Uhuru wa kwenda kujitafutia Riziki; kufa njaa. Na sasa wote mliowakamata, mnawabambikia kesi za Uhaini ambazo adhabu yake ni KIFO… Watoto wa Kimaskini, wasio na fursa, waliosahaulika na kudharaulika, aka THE DISENFRANCHISED, mmewaua kwa kuwakosesha “MATUMAINI YA KESHO YAO”. Walivyoandamana Kikatiba mmewaua kwa “SILAHA ZA MOTO” And now waliobakia mnataka kuwaua kwa “KESI ZA UHAINI KWA ADHABU YA KIFO” While other nations protect its kids, build their capacity, empower them with education & tools, integrate them into the work systems & think tanks, TANZANIA IS DISENFRANCHISING THEM, and yes… KILLING THEM The Leader