Manchester united ⚽️ & Simba SC fans

Pemba South, Tanzania
Joined November 2022
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Diaspora in Canada continue their protest and raising awareness about #TanzaniaMassacre Asanteni ndugu zetu ✊🏽 hatutanyamaza! 🇹🇿🇨🇦
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Naona baadhi ya watu wanasema niende tu nikajisalimishe Polisi ni salama kuliko wakinikwapua mtaani bila watu kujua. Sasa kitu ambacho hamjui ni kwamba nimeambiwa kwamba Polisi wanahasira sana na mimi na wameapa kwamba wakinidaka, watanifanyia vitu vibaya halafu ndo wanipe hiyo kesi ya Uhaini . Kwahiyo mnataka niende nikajisalimishe machinjioni? Kama kuna kosa nimetenda waende wakanifungulie kesi Mahakamani ila tofauti na hapo ni HAPANA siwezi kujisalimisha.
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
This is how they were randomly and recklessly shooting at citizens.
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
102
400
7
3,459
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
The horror and violence that Samia Suluhu unleashed on Tanzanians for protesting demanding free and fair elections. Hii ni Mbeya
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Hivi Kweli Wewe Uliyeko Hapo Ikulu Kwa Ubabe Unafikria Watu Watakubali Uendelee Kubabakia Madarakani Jiandae Tinakuja Kwa Mara Nyingine.😭😭😭
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
66
414
3
1,932
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Serikali ya Tanzania imethibitisha taarifa za kupatikana kwa masalia ya mwili wa Mtanzania Joshua Mollel (21) aliyeripotiwa kuuawa katika shambulizi la Hamas kwa Israel Oktoba 7, 2023. Taarifa hiyo imetolewa kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki leo Novemba 8, 2025, ikieleza kuwa Joshua alikuwa miongoni mwa vijana 260 wa Tanzania waliokuwa Israel kwaajili ya mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo. Ubalozi wa Tanzania Mjini Tel Aviv umeeleza kwamba unaendelea kushirikiana na Serikali ya Israel ili kuhakikisha masalia ya mwili wa kijana huyo yanarejeshwa hapa nchini. Taarifa ya Tanzania inakuja baada ya Israel kutoa taarifa za kuyapokea masalia ya mwili wa kijana huyo kutoka kwa Hamas ambayo ilihusika na mashambulizi yaliyosababisha kifo chake. Hatua hiyo pia ni kutokana na makubaliano ya hivi karibuni ya Israel na Hamas ya kusitisha vita ambayo yalihusisha pia kubadilishana mateka waliochukuliwa kutoka pande zote, ikiwamo miili ya waliopoteza maisha.
7
8
2
158
Huyu anaitwa Diana Mahikwi ni mwana Chadema mwenzenu amekamatwa na polisi tangu tarehe 1 November alifuatwa nyumbani na polisi wenye silaha kali ila mpaka sasa yupo kituo cha polisi iringa hapa kesi yake ni uchochezi wa maandamano anakaa Iringa mtaa wa kihodombi kata isakalilo.
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Makamu Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasin, ametoa pole kwa wote walioathirika na matukio yaliyotokea tangu siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania tarehe 29 Oktoba, 2025 akisema matukio hayo yameacha taswira mbaya ikilinganishwa na sifa ya taifa la Tanzania na kuacha historia isiyofutika. Kupitia taarifa yake kwa umma, Selasin, ambaye ni miongoni mwa wanasiasa wa upinzani wenye uzoefu mkubwa, ametilia wasiwasi mchakato wa uchaguzi huo akidai kuwa haukuwa huru na wa haki, akitolea mfano hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kususia mchakato huo. Amesema sababu kubwa ya changamoto hizo ni upinzani dhidi ya mabadiliko muhimu ya kisiasa tangu mwaka 1992. Ameeleza vyombo mbalimbali ikiwamo Tume iliyoongozwa na Jaji Francis Nyalali vilipendekeza mabadiliko ya kikatiba ili siasa zifanyike kwa misingi ya haki na amani, lakini mapendekezo hayo yalipuuzwa. Kwa mujibu wa Selasin, hatua hiyo imesababisha mazingira magumu kwa vyama vya upinzani na kudhoofisha demokrasia nchini. Selasin pia amekosoa kile alichokiita usumbufu na ukamataji wa wanasiasa wa upinzani, akisema kitendo hicho ni sawa na "kumwaga petroli kwenye moto", hivyo ameitaka serikali kuacha mara moja kuwakamata wanasiasa wa upinzani ili kuimarisha amani na mshikamano wa Watanzania. Amesema ni wakati sasa kwa viongozi wote wenye uwezo kutumia nafasi zao kuondoa hali hiyo, kwasababu kukaa kimya ni kuchochea mgawanyiko zaidi wa taifa. Aidha amehimiza vyama vya upinzani kushikamana kwa pamoja kutetea haki na kuhakikisha umoja wa kitaifa unadumishwa. "Mimi nilidhani kwamba katika hali ya namna hii tungeangalia namna ya kuliponya taifa letu, taifa limegawanyika, taifa linavuja damu hadi sasa tunavyoongea miili ya wenzetu haijulikani iko wapi…lakini katikati ya jambo hili bado kuna watu wanakamatwa, bado kuna watu wanasumbuliwa, na bado kuna watu wanasukwasukwa na polisi katika uchungu tulionao", ameeleza.
8
42
377
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
USA na wenzake wanajitahidi sana kuwabrand Taliban kama magaidi ila kiukweli hapa walikutana na wazalendo na wakachapika!!
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
TUNAOMBA REPOST ZA KUTOSHA HAPA.🙏🙏 Anaitwa JOHN PAUL SWAI huyu ni winga kariakoo amepotea toka tarehe 29 oktoba 2025 ndugu zake wanamtafuta lakini hadi sasa hawajamuona wanatamani wapate hata mwili wake akiwa mzima au mwali wake wamzike salama. Ukimuona piga 0627101077.
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
🚨 TAARIFA KWA UMMA Kijana pichani ameonekana mara ya mwisho #29Oktoba, siku ya maandamano. Alikuwa anafanya kazi Mabibo sokoni tangu siku hiyo hadi leo hakuonekana na hapatikani kwenye simu. Tafadhali yeyote mwenye taarifa amtafute kaka yake. No. 0618 244068 – Ibrahimu Zuberi
2
77
297
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
MAANDAMANO CANADA TORONTO YAMEFANYIKA JANA.TEREHE 8.11.2025
36
407
5
1,324
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
"Tusikubali kuingia kwenya Maridhiano baada ya UCHAGUZI, tukatae kabisaa huu usaniii Mimi binafsi nakataa na Nyie ningependa mkatae. Hakuna Maridhiano baada ya UCHAGUZI" :~ Humphrey PolePole
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
‼️🚨SAMIA AONGEZA MAASKARI KUTOKA ZANZIBAR‼️ Kwanza nashukuru wazanzibari wote wanaoendelea kusimama upande wa haki ✊🏽 Bandari ya Maruhubi huko Znz hsitumiki rasmi kwa sasa ila hawa maharamia wanaitumia kisiri! Wametuma magari kama 20 ya pickup na hawa maaskari ila wamevaa sare za khaki kama polisi Muungano! Bi Chura yuko kivita zaidi 🙄 Eti leo kuna wanaume watanganyika ktk vikosi vya usalama vinaamgalia tu! Nchi inavamiwa wao wanaridhika na pesa za damu wanaacha wananchi maelfu wauwawe! Eniwei we are on our own - tukae rada! Kwa sasa sare zetu hizi hata majambazi na wageni wanavaa tu! #SamiaMustGo #TanzaniaMassacre #SaveTanzania
53
197
4
1,073
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umetangaza kuungana na Watanzania wote kuomboleza vifo vya wananchi, wakiwemo waandishi wa habari wenzao vilivyotokea siku ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 huku ukitoa pole za dhati kwa wananchi waliopoteza mali zao na familia zilizopoteza wapendwa wao na kuwaombea uponyaji wa haraka wale wote waliojeruhiwa kimwili, kisaikolojia na kiroho. Kupitia taarifa yake ya Novemba 8, 2025 iliyotolewa na Uongozi wa UTPC, umoja huo umetoa wito kwa serikali, sekta binafsi, viongozi wa dini, mashirika ya kiraia na sekta ya habari na jamii kwa ujumla kushirikiana kwa pamoja ili kuleta maridhiano na mustakabali wa pamoja kwa manufaa mapana ya nchi yetu, ambayo kwa wakati wote imekuwa kisiwa cha amani na mfano kwa mataifa mengine. UTPC imesema inatambua kuwa wamepata athari mbalimbali ikiwemo athari za kisaikolojia kutokana na matukio yaliyotokea, hata wale walio angalia picha mnato na picha mjongeo za matukio hayo. Hivyo kwa kushirikiana na wadau wengine kupitia klabu za waandishi wa habari na wataalamu wa afya ya akili ingependa kutoa msaada wa kisaikolojia na kijamii (Psychosocial Support) kwa waandishi wa habari na wanajamii watakao hitaji msaada huo Vilevile UTPC imeziomba taasisi zingine za serikali na binafsi kuungana pamoja kufanya hivyo, kwa mtu mmoja mmoja, vikundi na familia zilizoathirika, hatua ambayo itasaidia uponyaji wa haraka na kusisitiza kwamba kipindi hiki cha majonzi na huzuni kitumike kama fursa ya kutafakari kuhusu umuhimu wa kulinda uhai na utu wa kila mwananchi. Aidha UTPC imetoa wito kwa makundi mbalimbali kujiepusha na vitendo vyovyote vinavyoweza kuhatarisha amani, na usalama wa watu na mali zao. Ni muhimu hatua zinazochukuliwa dhidi ya matukio haya zizingatie misingi ya haki za watu na utawala wa sheria kwani Amani ni zao la haki, na utu ni kiini cha amani. #KitengeUpdates
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
Vijana mkiambiwa kiuungwana punguzeni hiyo midomo mirefu kama chuchunge hamsikii, mnajiona nyie ndio sheria na katiba, haya acheni vilio pambaneni na Sheria na Katiba halisi.
Kumbe huyu mwanasheria kasoma VETA halafu alikua anasomea chereani na uvuvi na alidisco huko Zenji 😂
158
196
7
2,162
MALCOM-X 🇹🇿 retweeted
‼️🚨IDIOTIC PLAN OF SULUHU AND HER MURDEROUS CABAL TO IMPLICATE KENYANS‼️ Police are forcing Bodaboda drivers in Musoma to fill in false testimonies that they carried Kenyans across the border on October 29! Fortunately their idiotic plan has leaked! Stop trying to implicate Kenyans @SuluhuSamia Ila nimeamini wamebaki wapumbavu tu ndani ya mfumo! Akili kama hizi hata kuendesha kiosk haitaweza! Hakuna wakenya waliovuka wala nini! Mnatafuta pa kutokea - mmefanya mauaji halaiki ninyi na tuna ushahidi wa kumwaga! Mjiandae kuwajibika acheni kutapatapa! #TanzaniaMassacre #SaveTanzania #SamiaMustGo