Kwenye Maandamano Ya Desemba 09,Jeshi La Polisi Likitumua Nguvu Kupita Kiasi Kama Walivyofanya Oktoba 29,Bila Shaka Haya Ndiyo Yatakuwa Maandamano Mabaya Kabisa Kuwahi Kushuhudiwa Bara AFRIKA,Hii Inatokana Na Mbinu Zinazobuniwa Na Waandamanaji Ili Kujilinda Na Jeshi La Polisi.

Nov 9, 2025 · 3:20 PM UTC

55
351
5
1,169
Replying to @Kategoladslaus3
Ni hatari kenya kipindi cha mungiki 2007 walitumia Mabomu ya petrol Zilikuwa zinawekwa petrol kwenye chupa za wine zinaweka utambi zinafunikwa waliuwawa polisi wengi sana
5
1
21
Replying to @Kategoladslaus3
Kabla ya kuwaandamanisha Vijana na wengine muwape Elimu ya sheria za Polisi pamoja na Katiba ili kuelewa wanachokifanya. Pia mnapswa kuwa na lengo sio kujazana barabaran. Pia muwape elimu kwamba kuharibu mali yoyote ya umma au binafsi ni Uhalifu.
4
21
Replying to @Kategoladslaus3
Maandamano sharti yawe na mratibu anayejulikana atakayeyashiriki na ambaye anaweza kuwa held responsible/accountable. Vinginevyo ni hatari/hasara kwa Usalama wa uhai na mali. Kinachoudhi zaidi ni maandamano haya kushinikizwa waziwazi na nchi jirani, hasa Taifa la Kenya.
1
1
4
Replying to @Kategoladslaus3
Fanyeni mmeandaliwa mauwa mtavishwa.
Replying to @Kategoladslaus3
Statements proposing violence must be retracted. Be peaceful, do NOT engage police. Police hold a monopoly on instruments of violence. Carry your phone, a Tanzanian flag & white cloths. Converge at the agreed locations and sit down until she goes. Record everything.
1
4
Replying to @Kategoladslaus3
wao kule nao wanasema wacha wajichanganye maana hakutakuwa na uchaguzi siku hiyo. kosa mtakalofanya ni kujidai mnaweza kuoambana nao,watawamaliza,nyinyi himizeni maandamano ya amani kabisa.
2
1
8
Replying to @Kategoladslaus3
Ni kweli, kama polisi wakitumia nguvu za kupita kiasi tena, maandamano ya Desemba 9 yanaweza kuwa na athari kubwa kuliko yote yaliyowahi kutokea. Njia pekee ni majibu ya haki na maridhiano, siyo ukatili zaidi. Tunawaombea amani na haki washinde. #Tanzania #Maandamano #Haki
1
4
Replying to @Kategoladslaus3
bunduki kutoka nchi za nje waandamanaji wamesha agiza na mzigo umeshafika yaani tutazika familia za @tanpol nyingi sana hata wakodi jeshi kutoka Uganda sisi tutadili na police wa Tz na familia zao na watumishi wote wa CCM na serikali ili iwe fundisho kila mwananchi aikatae CCM
1
4
Replying to @Kategoladslaus3
Ni kweli kabisa,,maana ile29 wengi tuliamini JWTZ, tukawa tunamini washenzi watadhibitiwa nasi tukabweteka hata hatukuwa najiwe mkononi, kwahiyo walipokuja wakatushambulia kwa silaha za maangamizi hivyo wakifanikiwa kutuangamiza kiurahisi vilee
1
1
14
Replying to @Kategoladslaus3
Tukio litakuwa live dunia nzima bila wao kujua ,shauri yao wameyataka watayapata.
3
Replying to @Kategoladslaus3
Maandamano yawe ya amani.izo abari za kuelekezana kutengeneza mabom ya kienyeji huo ndio uhaini wenyewe. Mutawapa polisi uhalali wa kutumia risasi.
Replying to @Kategoladslaus3
Hakuna mbinu mpya Duniani inayoweza kukabiliana na Risasi, Dunia hii hiyo mbinu haijaibuka bado Tena awamu hii hawatabahatisha tena Kama mwanzo ambapo walikuwa wanadhan mnatania
1
1
Replying to @Kategoladslaus3
Hope Polisi wataheshimu Haki ya waandamanaji na waandamanaji watajiepusha na kuharibu mali ili ujumbe wao ufike kwa usahihi na tusitoe mwanya wa kuitwa wahalifu au wahuni
1
Replying to @Kategoladslaus3
Tutawapokea kama watakavyo kuja manina zao #9D ANGAMIZO LA SERIKALI DHARIMU NA YA KIKATILI. #SAVEDATE
8
Replying to @Kategoladslaus3
🤣🤣🤣
1
Replying to @Kategoladslaus3
Akina nani hao waandamanaji??!
1
1
Replying to @Kategoladslaus3
Na Tumechagua kutumia usiku, saa na majira yale yale ambayo mashujaa wetu walipandisha bendera na mwenge wa Uhuru juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro
2
Replying to @Kategoladslaus3
Molotov cocktail
Replying to @Kategoladslaus3
What's the end game of these protests? What if police decide to pull back & give the ppl their 24hrs to protest...do the ppl go back to "normalcy" on 10th? It has to be purpose driven. Truth:sham election & civilian coup happened Justice:recall elections after 3 months campaign
1
1
Replying to @Kategoladslaus3
Santeeeee, Mungu yupo tutashinda, Muda ni mwalimu
5
Replying to @Kategoladslaus3
🚮🚮
Replying to @Kategoladslaus3
Mbona mnangoja mwezi mzima? Watu wanaendelea kuuliwa
1
Replying to @Kategoladslaus3
WAJE na SMG tu lakini this time Watajuta seriously Nakwambia
2
Replying to @Kategoladslaus3
Sawa makomando round hii mtapigiwa miziga ya heshima. Rubbish
3
Replying to @Kategoladslaus3
@MariaSTsehai Unaonaje na wewe ukiwepo manake sio mnashawishi ndugu zetu na jamaa zetu halafu nyie mnakula raha huko mlipo
1
Replying to @Kategoladslaus3
Safari hii mtasingizia mmepigwa na Hamas jichanganyen wenzenu wawafanye Content za Instagram
1
3
Replying to @Kategoladslaus3
Muuliwe tuh wasenge nyie...
2
Replying to @Kategoladslaus3
Then muje kutia huruma mitandaoni
2
Replying to @Kategoladslaus3
Hata na hao polisi pia wamejipanga..siku ile mlipata chance ya kutoka kwa sababu polisi walikuwa wameshughulika na uchaguzi ila mara hii mtajuta
1
1
6
Replying to @Kategoladslaus3
citizens need to be armed.
Replying to @Kategoladslaus3
Acha kuratibu mambo ya kijinga kenge wewe
Replying to @Kategoladslaus3
wewe ni ibilisi mnywa damu za watu.. zile damu hujatosheka???
1