Hata ukisema ukweli watakuona mbaya wapate sababu yakukudhuru.

Joined October 2021
😥😥💪💪💪
1
10
0
Thadei Mhabuka retweeted
Tanzanian youths reciting their national anthem as they bury one of their own who was shot by the Tanzanian police. This comes after President Samia Suluhu’s contested presidential elections, where she jailed all her opponents and rigged herself in with a 97% win!
Thadei Mhabuka retweeted
‼️🚨THE KILLINGS CONTINUE‼️ This morning a young man (20) was shot and killed without a word by police in Hai district! Young men are walking targets - this is a genocide @IntlCrimCourt @UN @OHCHR_EARO @antonioguterres @hrw @AmnestyEARO Vijana msilale na muwe rada! Narudia mbinu za kimaasai muhimu! Hakikisha unakwepa hawa wauaji tuikomboe mapema Tanganyika! #TanzaniaMassacre #SamiaMustGo
Thadei Mhabuka retweeted
Hakuna justification ya kuua watu wengi kiasi hiki. Hata tukitumia hoja ya “uharibifu,” hakuna uharibifu uliofanyika kwa level ya kujustify hata fraction tu ya haya mauaji. Ni mauaji premeditated yaliyoongozwa na ego ya Rais pamoja na arrogance ya tabaka tawala. You will pay!
Ukweli humuweka mtu huru.
Thadei Mhabuka retweeted
Mimi...
Thadei Mhabuka retweeted
Baada ya kuua maelfu Kwa risasi na mabomu Sasa wanataka kuua maelfu ya wananchi Kwa kitanzi. Sijui hiyo itakuwa nchi ya aina gani. Hivi Hawa wanatafari na kuyaona mambo Kama Mimi Au wana ubongo special tofauti na maelfu.
1
10
52
Thadei Mhabuka retweeted
watu wa TikTok wametoa cover treason case nikama movie lakini inamaumivu makali, sidhani kama itaondoka kwenye akili na mioyo ya wa Tanzania hata ichukue miaka 1000, walicho kifanya wameweka video ya matukio yote kipindi cha uchaguzi, chapa Repost 200 kwa eshima ya mashuja
17
116
341
Thadei Mhabuka retweeted
🚨 Monday's Tundu Lissu Treason Hearing: What to Expect🚨 Under Tanzania's CPA S.302, expect more witness testimonies or cross-exams in Phase 2 (Nov 3-11). Bail denied (no-bail for capital offenses per Penal Code S.39). Verdict set for Nov 12. Lissu's dismantling prosecution's case justice or politics? #FreeTunduLissu #TanzaniaTrial
3
59
169
0
Thadei Mhabuka retweeted
Baadala ya kijitafakari wameamua kukamata viongozi wote wa Chadema. Pengine tathmini yao ya uchaguzi imeonyesha No reform no election ilifaulu. Kukamatwa kwa viongozi hao ni kutotumia busara maana inazidi kuchochea hasira za wafuasi wao.
Thadei Mhabuka retweeted
Watu wengi waliouwawa Tanganyika kuanzia Octoba 29 hadi Novemba 01 walizikwa kwenye makaburi ya pamoja ili Serikali kupoteza ushahidi.!!
1
53
186
0
Thadei Mhabuka retweeted
3
24
103
0
Thadei Mhabuka retweeted
1. Lissu - Mwenyekiti (Uhaini) 2. Heche - Naibu Mwenyekiti (kesi ya Uhamiaji imegeuka Uhaini/Ugaidi) 3. Mnyika (katibu mkuu) anatafutwa 4. Gulugwa (N/katibu mkuu (amekamatwa 5. Lema (Mjumbe wa K/kuu (anatafutwa) 6. Brenda (Msemaji wa Chama- Anatafutwa) Political Persecution
6
57
1
230
Thadei Mhabuka retweeted
Makosa ya 1. @HildaNewton21 - update ya Kesi ya @TunduALissu 2. @BrendaRupia kutoa updates za Chadema 3. Gulugwa, Lema, Mnyika- kuua - Kosa la kuwa na sura ya upinzani halisi. Wanataka upinzani goigoi 4. Boniyai kusaliti kambi ya Mwamba
Thadei Mhabuka retweeted
Hii ni Belin ktk bunge la Ujerumani. Kila mahali ni mabango ya FREE TUNDU LISSU. Mnaemuomea sasa ni gumzo dunia nzima. Mtamwachia kwa aibu na kushangaa amewaondoa madarakani.
Thadei Mhabuka retweeted
Taifa limefika hapa kwa sababu ya KANISA KULALA. Kanisa sio imara tena. Kabla ya kuilaumu Serikali nalilaumu Kanisa. Kanisa haliombi tena. Tunaelekea kubaya kama Kanisa halitaamka.
4
4
34
Wananchi wameumizwa, nakuuwa sana kama wanyama😭😭😭😭
Thadei Mhabuka retweeted
"KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE" Huyu Atengwe na Kila Mtanzania TIMAMU...
Thadei Mhabuka retweeted
Katika maisha haya ya dunia ni heshima kubwa sana kwangu katika haki na kweli at any costs. Sijutii kabisa kuwa katika mapambano ya haki na kweli kupata jamii yenye kuwajibika katika haki. Tunajua madhara ya kuwa upande wa haki na tumejipanga kulipa gharama zake bila hofu uoga.
33
76
Thadei Mhabuka retweeted
Habari. Naomba unisaidie kupost tunamtafuta ndugu yetu haonekani since july ,familia imejaribu kumtafuta bila mafanikio kipindi chote hiko tunaomba kwa atayekua au atakayepata taarifa zozote awasiliane na familia yake 0654545648
4
69
201