Makosa ya 1. @HildaNewton21 - update ya Kesi ya @TunduALissu 2. @BrendaRupia kutoa updates za Chadema 3. Gulugwa, Lema, Mnyika- kuua - Kosa la kuwa na sura ya upinzani halisi. Wanataka upinzani goigoi 4. Boniyai kusaliti kambi ya Mwamba

Nov 8, 2025 · 11:51 AM UTC

" Kamuambieni Mwenyekiti FAM kua leo Polisi wanamsifia, sasa ujue hii inaitwaje? " THIS IS A KISS OF DEATH" kasomeni kwenye Biblia " by TAL akiwa anamuhoji shahidi wa 2 wa Jamuhuri kwenye kesi yake ya Uhaini inayomkabili.
1
8
Hii namba nne sio sawa; tunamkosea sana huyo mtu kwa makosa ya kusadikika.
4
Kwmb walitegemea Boniyai atakuwa upande wao ila kadindaa, sio
5
Tena update za kiingereza…Lumumba hawawezi icho kitu.
2
Yaani hapo umeshindwa tu kwenda direct kuwa mbowe anahusika na hiyo kamatakamata ila tukikuuliza ww zaidi ya kuongea clubhouse na kutweet una mchango gani kwenye upinzani tz haufikii hata 0% ya alivyojitoa @freemanmbowetz !.. ,punguza chuki za kirofa
1
5
Acha tu watuue tena waridhike Ile kipindi hiki watajua hawajui.
4