Naambiwa Gereza la BUTIMBA Mwanza limejaa Wafuasi wa CHADEMA hawana wa kuwatetea kisheria Kama kuna mwanasheria aliepo mwanza Fikeni kesho hapo gereza la Butimba kuna watu wamekamatwa siku ya 29 October na hawajaelezwa kesi yao ni nini . @Advocate_Jebra @advocate_silayo Msaada
Tunajipanga kupitia chapter yetu ya Mwanza! Hakuna Muandamanaji atakosa wakili Tanzania nzima!!!
Nov 9, 2025 · 5:39 PM UTC



































